Msanii nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khadija Shaban maarufu kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei 5) katika hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni. Keisha,amesema anashukuru Mungu amejifungua salama na mtoto anaendelea vizuri.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment