Subscribe to:
Post Comments (Atom)
“video tumeagiza vyombo kwasababu kuna vitu ambavyo tunavyo lakini kuna
lights ambazo hatuwezi kufanya kazi bila zenyewe”, Amefunguka Profesa Jay
kupitia kipindi cha Sunrise cha Times FM leo.“So tumeagiza tunategemea soon or
later kila kitu kitakuwa kimekamilika tutaanza kushoot video. Tunafanya vitu
vingi pale ndio maana inaitwa Mwanalizombe studios, hatukutaka tuandike
Mwanalizombe Records kwasababu ingekuwa ni audio tu peke yake.” Amesema Jay Jay ambaye hivi sasa ana single mpya ‘Kipi sijasikia’ ameongeza kuwa
tayari Mwanalizombe imeanza kupata wasanii kutoka nje ya Tanzania ikiwa ni
pamoja na Kenya na Sudan ya Kusini wanaokuja kurekodi.
Post a Comment