0

 Amber Rose ameomba talaka kwa mume wake huyo aliyedumu naye kwa mwaka mmoja.

 Amber ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Kanye, siku za hivi karibuni amekuwa Rose anataka kuchukua udhibiti wa mtoto wao Sebastian, mwenye umri wa mwaka mmoja, kwa mujibu wa TMZ. 

Atamruhusu Wiz kumtembelea mwanae. TMZ imedai imeziona nyaraka za talaka ambazo zinaonesha kuwa wapenzi hao waliachana Jumatatu hii kwa kile kilichodaiwa tofauti zisizosuluhishika.
JOIN US 

FACEBOOK/ JIMCARTERTZ

TWIETTER/ @JIMMCARTERTZ

Post a Comment

 
Top