Baada ya taarifa za Amber Rose kudai talaka kwa mumewe Wiz
Khalifa, mume wa Mariah Carey, Nick Cannon ambao nao ndoa yao imevunjika, amekanusha uvumi kuwa yeye ndio chanzo cha
Amber kuomba talaka
Nick Cannon ambaye kwasasa ndie meneja mpya wa kazi za Amber
Rose, amedai kuwa hakuna kitu chochote zaidi ya kazi kinachoendelea kati yao.
Vyanzo vimeiambia TMZ kuwa, Nick amekuja kufahamu kuwa Amber
ana matatizo ya kifamilia kupitia mwanasheria wake wiki iliyopita baada ya
kusaini nae mkataba kama mteja wake, na ndipo alipofahamu kuwa ndoa ya Amber
ina matatizo.
JOIN US

Post a Comment