0

Kwa mara nyingine Chris Brown na mpenzi wake Karrueche Tran wameachana, lakini safari hii Chris mwenyewe ameamua kutoa taarifa hiyo akiwa jukwaani mbele ya mashabiki kwa kusema kuwa yupo single.

Breezy ametoa habari hiyo akiwa jukwaani kwenye show ya Cali Christmas ya Power 106 iliyofanyika Ijumaa Dec 5.

“How many single ladies we got in here tonight?” Aliuliza Chris kabla ya kuanza kutumbuiza wimbo wake “Loyal.” “Well, I’m single, too. F— that b—-” Chris  Alimalizia.

Muda mfupi baada ya habari hiyo kusambaa Twitter, Karrueche naye Alitweet Hivii. “Niggas be in they feelings when you break up with them lol”.

JIMMCARTER.COM WANAKUTAKIA HERI YA SIKUKU NA MAANDALIZI MEMA YA SIKUKU YA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA PIA TUNAKUKRIBISHA KUJIUNGA NASI HAPA CHINI 

Post a Comment

 
Top