man, kama hii ni kweli it’s bad news kwa Dr Dre. inasemekana kwamba appl
e company baada ya kuona video ya dre na tyrese wakijitamba juu ya kupata deal ya dollar billion 3.2 kwa kuuza beats by dr, dre head phones dizain kama wameogpa flani kuendelea na deal hiyo, na sababu kuu iliyotewa ni kwamba eeti, apple wao vitu vyao huwa ni top secrets , sasa baada ya ninjas kutoa ile video, it can be a bad for the business so let’s wait and see, so for now dr.
is still a millionaer , not a billionear
is still a millionaer , not a billionear
Post a Comment