0

Siku chache baada ya Instagram kumuonya Rihanna na kumtishia kumfungia akaunti yake kama asipozingatia masharti ya kuutumia mtandao huo ikiwemo kutoshare picha za utupu, akaunti hiyo ya Rihana  imetoweka ghafla kwenye Instagram.


Sasa hivi ukiingia katika akaunti yake iliyokuwa na jina @badgalriri iliyokuwa na zaidi ya followers milioni 12 hiki ndicho utakachokutaWiki iliyopita Rihanna alipost picha za utupu katika akaunti yake ya Instagram ambazo hata hivyo ziliondolewa, huku Riri akizipost tena picha hizo katika akaunti yake ya Twitter.Bado haijafahamika kama Riri ameifunga akaunti yake ya IG au imefutwa na Instagram wenyewe.

ASANTE KWAKUTEMBELEA WEBSITE  HII JIUNGE NASI  KUWA MWANA FAMILIA WA JIMMCARTER.COM

Post a Comment

 
Top