0

 JB akanusha kugombana na Steve Nyerere kwa deal la matangazo
Muigizaji wa filamu, Jacob Stephen aka JB amekanusha tetesi za kupigana na mwenyekiti wake Steve Nyerere kutokana madai ya kuzungukana katika deal la matangazo.

JB

JB, amedai kuwa hawezi kufanya kitu kama hicho kwani Steve Nyerere ni mwenyekiti wake.
“Jamani mimi nimeshawaambia mimi ni mtu mzima jamani, Steve Nyerere ni mwenyekiti na ni mtu ambaye ninamuheshimu, hakuna kitu kama hicho mbwa acheni mambo yenu, mimi ni mtu mzima na familia, kwahiyo mambo kama haya siwezi fanya, kwenye msiba mimi sijagombana chairman wangu, nashangaa watu wanalikuza hili suala. 

STIVE

Jamani Steve Nyenyere ni kiongozi wangu,” alisema JB kwa hasira.
Mtandao wa bongo movies pamoja na mingine imedai kuwa baada ya mazishi ya muigizaji na muongozaji wongozaji wa filamu marehemu Adam Philip Kuambiana, JB na Steve Nyerere wanadaiwa walishikana na kupigana kutokana na kuzungukana katika mambo ya matangazo

ASANTE KWAKUTEMBELEA WEBSITE  HII JIUNGE NASI  KUWA MWANA FAMILIA WA JIMMCARTER.COM FACEBOOK-JIMCARTERTZ | TWITTER JIMMCARTERTZ

Post a Comment

 
Top