0

Rihanna ameimwaga label yake ya muda mrefu Ya Def Jam Records na kujiunga na label inayoongozwa na Shawn Carter aka Jay Z, Roc Nation, Kwa mujibu wa jarida la Complex lilivyomeripoti.
                   
 
Pamoja na Ririhana  (26) kuachana na Def Jam lakini album yake ijayo ambayo itakuwa inafuata baada ya ‘Unapologetic’ ya mwaka 2012, itaendelea kusambazwa na label hiyo.

 
Awali Jay Z ndiye aliyemsaini Rihanna kipindi alipokuwa bado ni rais wa Def Jam kabla hajajiondoa mwaka 2009 na kuanzisha Roc Nation, lakini uhusiano wao wa kikazi uliendelea kama kawaida.

ASANTE KWAKUTEMBELEA WEBSITE  HII JIUNGE NASI  KUWA MWANA FAMILIA WA JIMMCARTER.COM

Post a Comment

 
Top