0

Msanii wa Deja Vu Music na Endless Fame Films, 
Mirror amefanya collabo na mshindi wa mwaka huu wa KTMA wa wimbo bora wa mashairi wa Afrika Mashariki, Jose Chameleone. 
Wimbo huo umerekodiwa katika studio za AM Records chini ya producer Manecky. 
Tazama kipande cha video kinachowaonesha wawili hao wakiwa studio.



ASANTE KWAKUTEMBELEA WEBSITE  HII JIUNGE NASI  KUWA MWANA FAMILIA WA JIMMCARTER.COM

Post a Comment

 
Top