Baaada ya watu wa Toronto kuonekana kutokufanya lolote kwa kile alichoambiwa Drake Na rapper Meek Mill kuwa kimewagusa na wamekaa kimya.
Norman "Norm" Kelly Ambaye nimwanasiasa kutokea canada pia MAYER wa jiji la TORONTO ametoa kauli kuhususina na maneno Meek Mill aliyo yasema yakiwa ni diss Kwa Rapper DRAKE ambaye anatokea Toronto.
![]() |
Norman "Norm" Kelly |
Meek mill alipost kwenye ukurasa wake wa tweetter na kusema kuwa asifananishwe na Drake Kwani rapa huyu kutoka Cash money huandikiwa nyimbo.
Mwana siasa huyo mabaye pia na mayer wa jiji la Toronto Ali tweet kwamba
Mwana siasa huyo mabaye pia na mayer wa jiji la Toronto Ali tweet kwamba
"Norm Kelly ✔@norm
You're no longer welcome in Toronto, @MeekMill." Ameandika Norm Kelly
You're no longer welcome in Toronto, @MeekMill.
— Norm Kelly (@norm) July 22, 2015
KAMA ULI MISS KILE ALICHOKIANDIKA MEEK MILL KUSU DRAKE PITIA SASA
Stop comparing drake to me too.... He don't write his own raps! That's why he ain't tweet my album because we found out! 😁
— Meek Mill (@MeekMill) July 22, 2015
Don't compare me to none of the cats that don't write they own raps either...... Lol
— Meek Mill (@MeekMill) July 22, 2015
Post a Comment