0

Ile june 2 /2016 tuliyokuwa tukiisubiri leo imefika na kilichofanyika kwenye lebel ya WCB inayomilikiwa na Diamon Platnumz imetambulisha rasmi  msanii  wao mpya  Rich Mavoko ambaye anakuwa ni msanii wa nne atakayesimamiwa kazi zake katika label hiyo.

Harmonize Richard    Rich Mavoko  
Kwa mujibu wa Diamond Platnumz alisema…’Kwasasa Label yangu inakuwa na jumla ya wasanii nne ukiachana na Rich Mavoko kuna Dada yangu Queen Darling ambaye sijawahi kumtambulisha lakini anakuwa ni msichana wa kwanza katika label yangu kwahiyo tutakuwa na jumla ya wasanii nne Raymond, Harmonize, Rich Mavoko na Queen Darling’- Diamond Platnumz

Post a Comment

 
Top