0

Rapper 50 Cent afunguka ugomvi wa T.I na Mayweather kupitia mtandao wa Instagram....katika Video hiyo, 50 anamshauri Mayweather kuachana na T.I kwa sababu ngumi zake hazitamsaidia kama T.I akianza kurusha risasi, akimaanisha kukamatwa kwa T.I 2007 kwa kukutwa na silaha kinyume na sheria.

SANTE KWAKUTEMBELEA WEBSITE  HII JIUNGE NASI  KUWA MWANA FAMILIA WA JIMMCARTER.COM FACEBOOK-JIMCARTERTZ | TWITTER JIMMCARTERTZ

Post a Comment

 
Top