0

Well wakati Kanye anaoa italy , T.I alikuwa anapigana na Floyd Mayweather pande za Vegas. Chanzo ni mke wa T.I aitwaye Tameka aka Tiny.

Well inasmekeana kwamba baada ya Floyd kupiga picha na Tiny na kuweka on instagram wakiwa kwenye party...King of South akaona...



akamfanya mwaka we need to talk, ndio inasemekana kwamba eti, Floyd akamjibu ish. Kilichojiri baada ya hapo ni kurushwa kwa ngumi na viti, mara Floyd amwambie T.I control ur mish na vitu kama hivyo

According to T.I anadai alirusha ngumi ikampata Mayweather, then akapost Video on Instagram akionyesha uso wake kwamba uko poa hajapigwa na boxing champion huyo, ila kwenye mkono ndio alikuwa na bandej
Well, Mayweather aamua kujirudi na kumuomba msamaha Tiny kwa kusema ni mshikaji wake tu, na hawezi kujihusisha kimapenzi na mwanamke aliyeolewa ,
hata hivyo anamheshimu sana Tiny..

ASANTE KWAKUTEMBELEA WEBSITE  HII JIUNGE NASI  KUWA MWANA FAMILIA WA JIMMCARTER.COM FACEBOOK-JIMCARTERTZ | TWITTER JIMMCARTERTZ

 

Post a Comment

 
Top