Chege na Temba baada ya kukaa mwaka mzima bila kufanya kazi ya pamoja
kama kawaida yao, mwezi huu ama ujao wanarudi tena na ngoma ya 'Wauwe'
na jana walikua wanashoot Video ya ngoma hiyo katika kiwanja cha ndege,
na wamewashirikisha mastar wenzao kushika nafasi za u pilor na vitu kama
hivyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment