Kiwanda cha filamu nchini, kimepata pigo jingine baada ya
kuondokewa na muigizaji na mtayarishaji wa filamu wa kike aliyekuwa anakuja
juu, Rachel Haule. Rachel amefariki jana baada ya kujifungua kwa upasuaji. Rachel alikuwa mjamzito… Na taarifa niliyoipata
tangu jana ni kwamba kulitokea complications wakati wa kujifungua ambapo
alijifungua kwa operation mtoto akafariki na yeye akawa amelazwa icu.. Lakini
asubuhi ya leo mungu akamchukua na yeye…. Hivyo ni mama na mtoto ambao
wamepotea.. Pole sana Saguda kwa msiba huu mkubwa wa kupoteza mama na
mtoto,!!!!! Kazi ya mungu haina makosa,” ameandika Zamaradi Mketema kwenye
Instagram. “Jana alifanikiwa kufanyiwa upasuaji kwa ajili ya uzazi
baada ya hapo hali yake haikuwa nzuri aliwekwa katika chumba cha wagojwa
mahututi, kwa bahati mbaya leo asubuhi ameaga dunia,”rafiki yake wa karibu
aliuambia mtandao wa Filamu Central. Rachel aliigiza kwenye filamu mbalimbali zikiwemo Vanessa in
Dillema na Men’s Day Out. Kifo chake kimekuja siku chache baada ya muongozaji
na muigizaji wa filamu Adam Kuambiana kufariki dunia. Msiba huo umepokelewa kwa
majonzi na mastaa mbalimbali nchini. Shilole Staki kumkufur mwenyez Mungu wangu! Ila kazi yake haina
makosa tulimpenda ila mwenyezi Mungu kampenda zaid! Dah inauma sana pole Saguda
kwa mtihan uliokupata!Ila tupo pamoja kwa kipind hik kigumu 1h Zamaradi Mketema OMG!!! Sijawahi kushtuka kama hivi… nasikitika kutangaza
MSIBA mwingine mkubwa ndani ya BONGO MOVIE!!! RACHEL HAULE hatunae tena
duniani… AMEFARIKI Asubuhi ya leo… INALILLAHI WAINAILAIHI RAJIUN…. pumzika kwa
Amani mama… MUNGU YUPO jamani!!!!! 2h Jacky Wolper Recho haule me nakutambua kma sheilah kipnd ni rafk yangu
kipenz nilikua napenda kukuita sheila .R.i.p sheilah umeamua kumzalia mwanaume
unaempenda saguda lkn aikufanikiwa mtoto akaiga dunia na sasa umefwata wewe
jaman ni pigo kubwa kwakijana yule na kwa famly na sisi bongo movie pia..Mungu
amekupenda zaidi ..pole saguda shemeji yetu…R.I.P sheilah 8min Riyamaally Innalilahi wainna ilaihirajiun mbele yako nyuma yetu kazi ya
mungu hainamakosa kila nafsi itaonja umauti mungu akuweke unapo stahili maa
amen daima tutakukumbuka na pengo lako halitafutika kamwe pumzika kwa amani
pole sana kaka saguda mungu akujalie sunira na uvumilivu amin pole familia pole
bongo muvi na tuwe pole kwa sote kila alie guswa na msiba huu jamaa na marafiki
,,,,natue pole kwa sote kazi yake mola daima haina makosa mungu ameleta nae
amechukua jina lake lihimiliwe milele amin 5min Batulli batuli_actress Alhamdulilah……Innalilah Wainnailah Rajouun
“Yarabbi Tupe Subira, Yarabbi Tupe UvumilivuASANTE KWAKUTEMBELEA WEBSITE HII JIUNGE NASI KUWA MWANA FAMILIA WA JIMMCARTER.COM FACEBOOK-JIMCARTERTZ | TWITTER JIMMCARTERTZ
Post a Comment