Alikiba kuachia video aliyoshoot Marekani Alhamisi ya wiki hii, imeongozwa na director aliyetengeneza filamu ya Tuxedo
Video ya wimbo mpya wa Alikiba ‘Lupela’ kutoka Alhamisi hii [Feb. 4]
Video hiyo ambayo ameifanya kwa ajili ya kampeni ya kupinga ujangili wa tembo ‘Wil Aid’ ilishootiwa Los Angeles Marekani miezi mitatu iliyopita ambapo pia alimtua mwalimu wa dansi (choreographer) Oththan Burnside ambaye amewahi kufanya kazi na wasanii wakubwa wa nchini humo ikiwemo Chris brown, Ciara, Nick Minaj, Ne-yo, Ashanti, Rihanna, Justin bieber na wengine.
Video hiyo imesamamiwa na mtengeneza filamu maarufu wa Hollywood, Kevin donovan.
— Alikiba (@OfficialAliKiba) January 31, 2016
#Lupela dance at Hollywood studios #WildAid project #Lupela official release - Feb 4, 2016. #KingKiba pic.twitter.com/TZVDDBHMBv
— Alikiba (@OfficialAliKiba) January 31, 2016
Director Kevin Donovan on #Lupela video as part of a #WildAid project to protect #elephants in Tanzania #KingKiba pic.twitter.com/bRBaeb8zHG
— Alikiba (@OfficialAliKiba) January 30, 2016
Got it! I'm excited to show you the final product of #Lupela video for the #WildAid project. #KingKiba pic.twitter.com/puOoCgnmM0
— Alikiba (@OfficialAliKiba) January 30, 2016
Post a Comment