0
May 28 /2016   Diamond Platnumz Na  Team yake ya wasafi walikuwa DALLAS kwaajili ya show 
kunayo moja ya video ambayo alipost instagram meneja wa diamond ilionyesha Platnumz akiwa ameweka meno ya Dhahabu.

Tumezowea kuona wenzetu marekani wakiwa wanapenda kuweka hivyo na imeshakuwa kama fashion kwa super stars wa marekani ,Unakumbuka msanii AY  pia alishawekaga meno ya dizaini hii.
KARIBU KUTAZAMA VIDEO HIZO BOFYA PLAY KITAZAMA MENO YA DIAMOND PLATNUMZ
Part 1
A video posted by Chibu Evara (@diamondplatnumz) on
Part2
Part 3
A video posted by Hamisi Taletale (@babutale) on

Post a Comment

 
Top