Mwaka huu Chidi Benz alikiri kutumia Madawa ya kulevya na kuomba msaada huku afya yake ilionekana kumtia huruma ambapo meneja Diamond na Tip Top Connection, Babu Tale akishirikiana na Kalapina walimsaidia na kumpeleka katika kituo cha Bagamoyo Sober House ambacho kilimsaidia kuachana na Matumizi ya madawa ya kulevya.
Jumatano hii katika mitandao ya kijamii kumesambaa picha mpya za rapper huyo zikimuonyesha jinsi alivyopendeza hali ambayo imewafanya mashabiki kumpongeza yeye pamoja na Babu Tale mashabiki wamekuwa wakikoment kwakutumia # Hashtag #newchidibeenz #thereturnofkingkong #Chumaaaaaa.
SOMA HIZI BAADHI YA COMMENT ZA MASHABIKI
Hakika mitihani humkomaza mja Mungu nisimamie.#newchidibeenz #thereturnofkingkong#Chumaaaaaa...
- Inshallah
- Chid we love u
- Mungu akutangulie
- Uyu aje @wcb_wasafiasiende @tip top
- the king iz back
- Follow this account for chid beenz replies
- KingKong @officialchidibeenz
- I am so happy my favourite rapper is back.... looking forward to your music.... that voice
- We jamaa unajua kichiz yan. Ile freestyle ulopga na kalapina kwenye gari mpo na tale ndo imefanya nkubali unajua na huko co kubahatisha ni Likipaji Kutoka Kwa Allah.. May Lord God Bless u brother. U inspire me maaan!!! #Shout_out to u..@officialchidibeenz
- chumaaaaaaaaa kikooooooooo
- Chumaaaaaaaaaaa is back back again
- yani sijui nisemeje mungu ni mwema kwa kila mtu hasante mungu kwa kumuludisha mtu uyu katika aliyake ya kawainda
- Happy for u brother Mungu akulinde na akusimamie katika kila kitu.
- Chumaaaa is back
- Chumaaaaaaaaaaaaa
- Tumemic michano sana
- Brother saluti.....King Kong
- Lukin guda bro
- Ngoma itambaeeeeeeeeee
- mungu akulinde brother uwe mtu mwema kama zamani............. we miss you chidi
- Now am happy nice #chuma@officialchidibeenz am waiting for new song brother don't let me down toa jiwe tuwafunge mdomo
- Yap nice words from hip hop hustler don't give up we are still interested in your tracks
- Had raha mungu akuongezee Kaka
- ukujeeee umuon Kaka angu@janeth_optatus
- Nimekumisss kinoma nomaaa. Welcome back bro @officialchidibeenz
- 😢😢Niww huyo chid beenz?@officialchidibeenz
- Chuchuchumaaa
- Du Mungu akusimamie
- Kwa updates za chid follow hapa
- Hii account ya mwendokasi 😂😂😂
- Big up saana jana usiku was6 account yako ilikuwa na follows 4000 leo asubui 13k good bado unakubalika usitizame nyuma songa mbele bro @officialchidibeenz
- Mungu akupe maisha marefu na mazuri brooo
- nimekubali chid mungu yu pamoja nawe hakika utashinda
- Ameen...
- Ameeeen blood
- Karbu #chuma
- Mizuka ipande mpak watu wapagawe!
- Amiiina inshaalah
- Mungu awe nawe
- Back kaka mic u Hatareeeee
- Wakimbizee marapper pampers marapper pampers👏👏👌
- chumaaaaaaa
- King koooooooooooooong....
- Cpigiwi nacheza/ pakavu natereza/ u can stop me sana sana ntakupoteza/ luv kwa wasanii....luv kwa wanajamii... luv mpka kwakina iki kwa kina naniiiii/ msinitenge mwanenu jamani chonde... nawawakilisha nyinyi/ mtatoka msikonde../ ur my african people tukaze buti tusonge..../ yaliyopita c kiko... tugange yajayo/ tuache kupiga miayo.... tufikiri kwa urefu cyo saizi ya zakayo👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏chuma...kin kong....nakuongezea na rambo nasubir mawe yako mapya
- Hila upunguze ubabe wa kupiga watu school mate
- @sasbeenz@salehbeenz_chuma @teddy_lovve@muu97beenz
- chidbenzinooooo
- sawa nimeona kaka sidhani kama utanitag tena huku halafu nakuomba whatsap one time mpendwa@pato_beenz_chuma
- Ngoma itambae
- Wachaga bwana na hip hop😂😂😂 eti tulikumiss kinoma(in wachsga's voice)
- Wachaga bwana na hip hop😂😂😂 eti tulikumiss kinoma(in wachsga's voice)
- Kwl ukiamua unaweza@officialchidibeenz Hongera kwa kupita huo mtihan maana ni wachache sna wanaoweza kukubal lile ttzo na kuona walichoshwa nalo jitahd sna kusahau yaliyopta na kuanglia maisha ya mble ww ni mpya SNA hakika una mashabik wing sna ambao 2lkuwa 2nakuombea uondokne na mthan mkubwa...#NitakusupportDaima
- @mangekimambi_
- Welcome back child benz
- Welcome back chumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
- Safi sana uko poa my best
- Hakika ntakuwa mwenye firaha sana kaka maana ww ndio mtu ulienifanya mm luku kupenda na kujaribu kufanya hiphop ngoma itambaeee
- Dah modol langu ilo karibu mkuuu toa vitu sasa tufrahiiiiiiiiiiiii chuma kingkong
- king kong ludi baba utupe vitu
- The return of kingkong haaa haaa
Post a Comment