Diamond Platnumz alibomoa ile nyumba yao Tandale na kujenga hii mpya,itazame hapa.
Kuna hizi picha za Before na video inaonyesha After ya nyumba ya zamani ya familia ya Diamond Platnumz huko Tandale jijiini Dar es salaam.
Hizi ni post za IG za Diamond & Dada yake Esma
Post a Comment