Mashabiki wadata na picha za Yemi Alade kwenye jarida la OnoBello
Msanii kutoka Nigeria Yemi Alade ameonekana kwenye toleo jipya la jarida la OnoBello akiwa amevalia nguo za kuogelea.
Picha hizo zimesambaa sana mtandaoni na zimeonekana kuwavutia mashabiki wengi wa staa huyo ambaye kwa sasa anatangaza album mpya, Mama Africa.
Post a Comment